JOEY BARTON
huyu jamaa kwanza sifa yake kubwa ni mtukutu yeye ni siku 77 alifungwa 2007 kutokana na vurugu alizozifanya kwenye jiji la MANCHESTER.
TONY ADAMS
beki wa Arsenal Tony Adams alikuwa jela kwa miezi minne mwaka 1990 baada ya yeye kuendesha gari akiwa ametumia pombe .
DUNCAN FERGUSON
miezi mitatu jela mwaka 1995 kwa kumshambulia John McStay wa Raith Rovers wakati alipokuwa akiichezea Rangers.
alijiunga na Newcastle mwaka 1998 lakini akarudi Everton baada ya mwaka mmoja tu. Yeye alistaafu soka Goodison Park mwaka 2006.
Lee Hughes
Huyu yeye alikuwa anaendesha gari ovyo na kupelekea kusababisha kifo cha Douglas Graham hii ilikuwa Agosti 2004 hata hivyo timu yake kwa kipindi hicho West Bromwich Albion ilimtimua kazi mshambuliji huyo na hukumu ilipo pita ni miaka 6 alifungwa.
Luke McCormick
Miezi minne jera kwa kosa la kusababisha ajari alikuwa ni kipa wa Plymouth ilikuwa ni Julai 2008.
Wapo wengi wenye matukio ya ajabu wengine ni
.png)
By
10:16:00








0 comments